Amos 2:1

1 aHili ndilo asemalo Bwana: “Kwa dhambi tatu za Moabu,
hata kwa dhambi nne, sitaizuia ghadhabu yangu.
Kwa sababu alichoma mifupa ya mfalme wa Edomu,
ikawa kama chokaa.
Copyright information for SwhKC